KPL YAENDELEA LEO ULINZI IKILENGA KUJIKWAMUA

Ligi kuu ya soka nchini KPL inaendelea hii leo kwa mechi za katikati ya wiki, ambapo mechi moja imeratibiwa kusakatwa. KCB FC watalenga kupata ushindi katika mechi 2 mtawalia baada ya kusuasua, watakapomenyana na Ulinzi Stars majira ya saa kumi alasiri. Kwa upande wao, Ulinzi watalenga kupata ushindi wa kwanza katika mechi 3 baada ya […]

KENYA YAJIANDAA KWA 2026 GLASGOW COMMONWEALTH

Shirikisho la mpira wa vikapu kwa wachezaji wanaotumia viti vya magurudumu KWBF limeimarisha maandalizi kwa ajili ya mashindano ya kufuzu michezo ya 2026 Glasgow Commonwealth, baada ya kuandaa majaribio ya wanawake kwa wanaume katika viwango vya 3×3 na 5×5, Pamoja na kikosi cha wanawake wasiozidi umri wa miaka 25. Majaribio hayo yaliyoandaliwa katika uwanja wa […]

IMLU YAONYESHA MADHILA DHIDI YA RAIA

Mwaka huu wa 2025 umekuwa mwaka mbaya zaidi wa ukiukaji wa haki za kibinadamu nchini, Kenya ikiorodheshwa kuwa miongoni mwa mataifa yaliyoshuhudia ukiukaji mkubwa wa haki za kibinadamu uliotekelezwa pakubwa na maafisa wa usalama. Haya ni kwa mujibu wa ripoti ya shirika la IMLU, inayoonyesha kuwa zaidi ya watu 100 waliuawa kiholela, wengine 1,500 wakikamatwa […]

POLISI WALIOREJEA WATAJA UFANISI

Maafisa wa polisi waliorejea nchini kutoka Haiti wametaja kufanikiwa kwa misheni yao ya kurejesha utulivu katika taifa hilo la Karibia, mojawapo ikiwemo kufungua upya barabara kuu zilizokuwa zimetekwa na magenge ya wahalifu. Wakizungumza siku moja baada ya kurejea, maafisa hao wameelezea kupitia changamoto mbali mbali katika muda wa miezi 18 waliyohudumu nchini humo. Inspekta mkuu […]

MATOKEO YA KJSEA KUTOLEWA

Watahiniwa zaidi ya milioni 1.1 waliofanya mtihani wa kitaifa wa gredi ya 9 KJSEA watafahamu matokeo ya mtihani huo hii leo, ukiwa ni mtihani wa kwanza kabisa tangu kufutiliwa mbali kwa KCPE. Tofauti na KCPE ilioibua ubabe wa shule, matokeo ya KJSEA yatamlenga mtahiniwa binafsi na wala si uorodheshaji wa shule au mashindano kati ya […]

GACHAGUA: KURIA ANATUMIWA KUGAWANYA MLIMA

Kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua ameibua madai kwamba aliyekuwa mshauri wa Rais kuhusu masuala ya kiuchumi Moses Kuria anatumiwa na serikali ya Kenya Kwanza kugawanya kura za eneo la Mlima Kenya ukiwemo uchaguzi mdogo wa Mbeere North. Akihojiwa na runinga moja nchini, Gachagua amesema lengo ni kuhakikisha kuwa eneo hilo halimpigii mgombea mmoja […]

OMTATAH APINGA MKATABA WA KENYA-MAREKANI KORTINI

Shutuma dhidi ya mkataba wa ushirikiano katika sekta ya afya uliotiwa Saini kati ya Kenya na Marekani umechukua mkondo mpya, seneta wa Busia Okiya Omtatah sasa akielekea mahakamani kuzuia utekelezwaji wake. Kwenye kesi yake, Omtatah amesema mkataba wa huo wa shilingi bilioni 208 za Kenya unaoiwezesha Marekani kuwekeza moja kwa moja katika taasisi za afya […]

Mastering High‑Stakes vs Low‑Stakes Play at a UK Online Casino

Mastering High‑Stakes vs Low‑Stakes Play at a UK Online Casino Finding the right betting level can feel like navigating a maze of tables, slots, and live dealers. Some players chase massive jackpots with high‑stakes wagers, while others prefer the slower burn of low‑stakes games. Both approaches have their own risks, rewards, and ideal player profiles. […]

WACHEZAJI WA MISRI WAMUUNGA MKONO SALAH

Wachezaji wa timu ya taifa ya Misri wameonyesha kuungana na nahodha wao Mohamed Salah, huku hatma yake ndani ya Liverpool ikibaki na sintofahamu kuelekea Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Morocco. Misri ambao ni mabingwa wa Afrika mara saba, wamepangwa Kundi B pamoja na Angola, Afrika Kusini na Zimbabwe Salah hakujumuishwa kwenye kikosi kilichosafiri Milan kucheza dhidi ya […]

XABI ALONSO ASEMA REAL MADRID ITAREJESHA UBORA

Kocha wa Real Madrid anayekumbwa na presha, Xabi Alonso, amesema hali anayopitia inaweza kubadilika haraka kabla ya mchezo wao muhimu wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Manchester City Madrid imeshinda mechi mbili pekee kati ya saba zilizopita katika mashindano yote, ikipoteza 2–0 dhidi ya Celta Vigo huku ripoti za Uhispania zikidai kuwa Alonso anaweza kufutwa […]