MHUDUMU WA MPESA APIGWA RISASI KATIKA TUKIO LA UHALIFU MUKURWEINI NYERI
Polisi wanaendelea kuwasaka watu waliompiga risasi Mhudumu wa Mpesa na kujeruhiwa katika tukio la wizi katika Mji wa Kiahungu, Kaunti ya Nyeri. Kulingana na polisi, mwanamke huyo alikuwa akirejea nyumbani baada ya shughuli za siku, akiwa na mwenzake, walipovamiwa na wanaume wawili, mmoja akiwa na bastola. Wahalifu walimnyang’anya KSh.160,000 taslimu, simu tatu, na bidhaa mbalimbali […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































