SERIKALI MBIONI KUIMARISHA AFYA YA AKILI
Visa vya matatizo ya afya ya akili vinatarajiwa kupungua baada ya wizara ya afya kuzindua mwongozo wa kwanza wa kliniki kwa lengo la kudhibiti visa hivyo kwa kuimarisha upimaji na matibabu kwa waathiriwa. Mkuu wa idara ya afya ya familia Bashir Isaak amesema mwongozo huo unalenga kushughulikia mwanya wa asilimia 75 katika huduma za kimatibabu […]
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































