WATU WANNE WAFARIKI BAADA YA BOMBA LA MAJI TAKA KUPOROMOKA ENEO LA SHAURI MOYO JIJINI NAIROBI
Watu wanne wamefariki baada ya bomba la maji taka lililochimbwa kuporomoka katika mtaa wa Shauri Moyo jijini Nairobi. Msemaji wa Huduma ya Kitaifa ya Polisi (NPS) Dkt Resila Atieno Onyango amesema kuwa operesheni ingali inaendelea katika eneo la tukio. Ameongeza kuwa watu watatu wameokolewa na wamehudumiwa. Kulingana na Shirika la Msalaba Mwekundu la Kenya, watu […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































