TETESI ZA UHAMISHO- SOKA ULAYA MSIMU HUU WA JOTO

Kwenye tetesi za uhamisho ulaya msimu huu wa joto ni kwamba, kiungo wa kati wa uingereza na Lille Angel Gomes,24, anatazamiwa kujiunga na Newcastle united ila Liverpool, Tottenham na Borussia Dortmund pia wanafanya juhudi kuhakikisha wanamnyakua mchezaji huyo. Hii ina maana kuwa gomes, atakuwa na kibarua kikubwa cha kuchagua timu bora inayowiana na mbinu yake […]

BAADHI WACHEZAJI WA ASENALI WAKUMBWA NA MAJERAHA

Baadhi ya wachezaji wa timu ya arsenali wanakumbwa na majeraha kadhaa ambayo yamesababishwa na mechi za taji la UEFA nations league. Wana gunners wamepata pigo baada ya baadhi ya wachezaji wao kulazimika kuukosa mchuano dhidi ya Tottenham Hotspurs na Manchester City. Wachezaji hao ni pamoja na Mikel Merino, Declan Rice mzaliwa wa uingereza ambaye alionyeshwa […]

TIMU YA FIRAT KUONYESHA MAKALI YAKE DHIDI YA CAMEROON

Kocha wa harambee stars engine firat amesema ana mfumo wake fiche, atakaoutumia kucheza dhidi ya miamba wa soka barani afrika cameroon, maarufu Indomitable Lions. Baada ya ushindi dhidi ya namibia, Firat amesifia wachezaji wake licha ya kukumbwa na changamoto mbali mbali, ikiwemo sehemu maalum ya kufanyia mazoezi. Huku wengi wa wachezaji wa stars wakiwa na […]

OLUNGA ASHINIKIZWA KUREJEA KWENYE KIKOSI CHA HARAMBEE STARS

Kiungo wa kati wa harambee stars Richard Odada anatumai nahodha wa stars Michael Olunga atashiriki mechi ijayo ya kufuzu dimba la AFCON 2025 dhidi ya kenya na Cameroon mwezi Oktoba. Olunga amekosa mechi mbili za mwisho za kufuzu dhidi ya Zimbabwe na Cameroon, huku Odada akikiri walikosa uongozi wa Olunga, na makali ya kufunga mabao […]

UKAME WA KUKATA TAMAA KWA WATUMISHI WA UMMA KATIKA SEKTA YA MAJI

Pendekezo la kuunganishwa kwa wakala katika Bodi ya Hazina ya Maji ya Kata kunalenga kuweka usimamizi wa rasilimali za maji katika ngazi ya kata, na hivyo uwezekano wa kuimarisha utoaji wa huduma kwa kufanya maamuzi ya ndani. Ingawa wazo hilo linaahidi kurahisisha utendakazi na kupunguza utendakazi, kuna wasiwasi kuhusu usambazaji sawa wa rasilimali na hatari […]

UPASUAJI WA MIILI YA WANAFUZI 21 WALIOAGA KWA MKASA WA MOTO HUKO NYERI WAANZA LEO

Mwanapatholojia mkuu wa serikali Johansen Oduor anatarajiwa hii leo kuongoza shughuli ya upasuaji wa miili ya wanafunzi walioteketea katika mkasa wa moto shule moja eneo la kieni kaunti ya nyeri. Zoezi hilo lilitarajiwa kungo nanga hapo jana lakini shughuli hiyo ikakatizwa ili kutoa nafasi kwa wazazi na familia za waathiriwa kutazama miili hiyo. Imetayarishwa na […]

MVULANA AJIUA BAADA YA KUZUIWA KUUZA NG’OMBE BILA IDHINI YA BABA YAKE

Polisi katika Kaunti ya Migori wanachunguza kifo cha mvulana wa umri wa miaka 17, ambaye anadaiwa kujiua saa chache baada ya kuzuiwa kuuza ng’ombe wa babake kwenye mnada wa ng’ombe katika kijiji cha Mawini. Chifu Msaidizi wa eneo la Nyamaharaga Rose Ooko amesema mwili wa marehemu umepatikana ukining’inia kwa kamba ndani ya kichaka saa chache […]

WAHUDUMU WA AFYA WATAKA MALIPO YA MISHAHARA YAO LA SIVYO WATAGOMA

Vyama vya wahudumu wa afya vimepinga agizo la kujadiliana na serikali kuhusu maswala ya mishahara ya wanachama wao na bima ya matibabu. Kulingana na mwenyekiti wa muungano wa maafisa wa kliniki Peterson Wachira wahudumu wa afya watagoma kila tarehe sita ya kila mwezi ikiwa hawatapokea malipo ya mishahara yao. Imetayarishwa na Janice Marete

IKULU YAPINGA TETESI ZA ODM KUKOSA KIKAO CHA RAIS

Ikulu ya Rais imepuzilia mbali taarifa kwanba wabunge wanaoegemea chama cha ODM walidinda kushiriki mkutano na Rais William Ruto Jumatatu wiki hii, ikizataka habari hizo kuwa za kupotosha. Kupitia taraifa, msemaji wa Ikulu Hussein Mohammed amesema kwamba wabunge hao hawakuwa wamealikwa kwenye kikao rasmi ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari. Kwa mujibu wa Ikulu, […]

MOMBASA UNITED WASHAMBULIA BANDARI

Timu ya NSL Mombasa United imesajili nyota wa zamani wa Bandari fc kwa Msimu wao wa 2024-2025. Miongoni mwao ni mshambuliaji mzoefu kutoka Congo Yema Mwana ambaye hivi majuzi aliichezea Coastal Union ya Tanzania, Wilberforce Lugogo kutoka Murang’a Seal na Swaleh Chacha kutoka Bandari fc. Huku dirisha la usajili la NSL likifungwa rasmi kufikia saa […]