#Football #Sports

GUARDIOLA ASEMA HANA PRESHA MSIMU HUU

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amesema hana wasiwasi wowote msimu huu akieleza kuwa hali ni tofauti kabisa na ilivyokuwa msimu uliopita

Amesema msimu uliopita ulikuwa na presha kubwa kwani alihofia kushindwa kuipeleka timu katika mashindano ya Ulaya lakini sasa mambo yako shwari zaidi

Guardiola ameongeza kuwa kwa sasa timu iko tulivu na yenye kujiamini zaidi hata kabla ya ushindi wao dhidi ya Arsenal hali inayowapa matumaini makubwa katika mechi zijazo.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

GUARDIOLA ASEMA HANA PRESHA MSIMU HUU

WINGU LA UFUSADI LATANDA BUNGENI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *