#Local News

RUTO ATETEA BEI ZA JUU ZA MAFUTA

Rais William Ruto ametetea bei ya juu ya mafuta nchini ikilinaginishwa na mataifa mengine katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, akisema sababu ni kwamba Kenya inakuwa kiuchumi zaidi ya mataifa hayo.

Akizungumza jijini Nairobi kabla ya kuelekea Italia kwa ziara ya siku 3, Ruto amesema kiwango cha miundomsingi ya barabara zilizojengwa nchini kinazidi kile cha mataifa hayo kwa pamoja.

Kulingana naye, ushuru wa mafuta unahitajika pakubwa kuimarisha barabara.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO ATETEA BEI ZA JUU ZA MAFUTA

MATIANG’I AKOSOA G2G

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *