#Local News

11 KUSHTAKIWA KUHUSIANA NA MAANDAMANO

Waandamanaji 11 waliokamatwa jana na polisi jijini Nairobi wakati wa maandamano ya kupinga bei mpya za juu za mafuta wanatarajiwa kufukishwa mahakamani hii leo.

11 hao walikamatwa na maafisa wa DCI waliokuwa wamevalia mavazi ya raia, kamanda wa polisi eneo la Nairobi Issa Mohamud akithibitisha kukamatwa huko.

Miongoni mwa waliokamatwa ni mwanaharakati Julius Kamau.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *