#Local News

MATIANG’I AKOSOA G2G

Mwaniaji wa urais kwa tiketi ya chama cha Jubilee Fred Matiang’i, ameikosoa serikali kutokana na kupanda kwa bei za mafuta, akihusisha ongezeko hilo na mpango wa uagizaji wa mafuta wa G2G anaosema haueleweki.

Kwenye mahojiano na kituo kimoja cha runinga, Matiang’i ameitaka serikali kuweka wazi maelezo ya mpango huo, akitilia shaka hatua ya serikali kutolihusisha shirika la kitaifa la mafuta, NOC kwenye mpango huo.

Kulingana naye, G2G imetumika kufuja fedha.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MATIANG’I AKOSOA G2G

RUTO ATETEA BEI ZA JUU ZA MAFUTA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *