RUTO AWAKOSOA WANAOCHOCHEA UMMA
Rais William Ruto amewahimiza viongozi wa kisiasa kuwa mstari wa mbele katika kuimarisha mshikamano wa nchi, akiwataka wananchi kujitenga na viongozi wanaoeneza semi za ukabila.
Ruto amekariri kuwa serikali yake imejitolea kuimarisha sekta mbali mbali kama vile kilimo, elimu na afya tangu alipoingia mamlakani, kauli yake ikisisitizwa na naibu wake Kithure Kindiki.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 










































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































