WATTANGA ATEULIWA BAADA YA KRA
Aliyekuwa kamishna mkuu wa mamlaka ya kitaifa kuhusu ukusanyaji ushuru, KRA, Humphrey Wattanga, ameteuliwa kuwa balozi wa Kenya nchini Afrika Kusini, muda mfupi baada ya kuondoka KRA. Kulingana na mwenyekiti wa bodi ya mamlaka hiyo Ndiritu Muriithi, Wattanga alikuwa kwenye likizo ya mwisho kufuatia kukamilika kwa mkataba wake, kabla ya uteuzi wake na Rais William […]
English 




















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































