#Local News

GACHAGUA APIGA ABAUTANI KWENYE KESI YA KUTIMULIWA

Aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua sasa amefutilia mbali ombi lake la kutaka arejeshwe afisini jinsi alivyokuwa amewasilisha kesi inayoendelea kwa sasa katika mahakama ya Milimani, na badala yake anataka kupewa fidia.

Wakati wa vikao vinavyosikilizwa na majaji Anthony Mrima, Freda Mugambi na Erick Ogolla, mawakili wa Gachagua wameiarifu mahakama kwamba kesi hiyo iliyofanyiwa marekebisho sasa haitaki kurejeshwa kwake afisini.

Badala yake, anataka mahakama iamuru fidia pamoja na amri kwamba kutimuliwa kwake kulikiuka sheria.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

GACHAGUA APIGA ABAUTANI KWENYE KESI YA KUTIMULIWA

BEI YA TANI YA MIWA YASHUKA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *