#Local News

IEBC YATOA TARAIFA KUHUSU USAJILI WA WAPIGA KURA

Zoezi la usajili wa wapiga kura wapya limeratibiwa kukamilika hii leo huku tume huru ya uchaguzi na mipaka, IEBC ikisema inajitahidi kuwafikia wakenya wote waliohitimu ili kuwasajili kabla ya zoezi hilo kufungwa.

Katika taarifa ya hivi punde, IEBC imesema imeafikia asilimia 75 ya wapiga kura wapya milioni 2.5 waliokuwa wamelengwa, Nairobi ikiongoza kwa takribani wapiga kura wapya zaidi ya 200,000.

Tume hiyo imetangaza kuwa imewasajili wapiga kura milioni 1.8 kufikia jana kwenye zoezi lililoanza tarehe 30 mwezi jana.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *