#Local News

GACHAGUA AWAHIMIZA VIJANA KUJIHAMI NA KURA

Huku zoezi la kitaifa la kuwasajili wapiga kura wapya likiendelea, vijana kote nchini wamehimizwa kujitokeza na kusajiliwa kwa wingi ili kuafikia mabadiliko ya uongozi ambayo wamekuwa wakishinikiza kupitia maandamano.

Kiongozi wa chama cha DCP Rigathi Gachagua, amesema muungano wa upinzani unategemea idadi kubwa ya wapiga kura wapya kumbandua madarakani Rais William Ruto kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *