#Local News

MAHAKAMA KUANZA VIKAO VYA KESI YA GACHAGUA

Vikao vya siku 3 vya kusikiliza kesi ambapo aliyekuwa naibu Rais Rigathi Gachagua anapinga kutimuliwa kwake kutoka afisini vinaanza hii leo mbele ya jopo la majaji 3, Gachagua akisema ana imani kwamba atapata haki.

Wakati uo huo, viongozi wa muungano wa upinzani wamelitaka jopo hilo la mahakama kuu kuangazia kwa makini sababu za kutimuliwa kwake, wakisema mchakato wa kumtimua ulikumbwa na dosari kutoka mwanzo.

Wameshikilia kuwa mchakato huo ulichochewa kisiasa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *