MBADI ATETEA KUFURUSHWA KWA SIFUNA ODM
Muda mfupi baada ya seneta wa Nairobi Edwin Sifuna kutimuliwa kutoka wadhifa wa katibu mkuu wa chama cha ODM, Waziri wa fedha John Mbadi ametetea uamuzi huo, akisema Sifuna hakuwa chaguo bora kushikilia wadhifa huo. Kwenye mahojiano na kituo kimoja cha runinga, Mbadi amesema wadhifa huo ulistahili kupewa Wafula Buke kufuatia kuondoka kwa Ababu Namwamba, […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































