RISING STARLETS YAPANIA HATUA NYINGINE DHIDI YA TANZANIA
Rising Starlets wana matumaini ya kufuzu raundi inayofuata ya kufuzu Kombe la Dunia la FIFA kwa Wanawake chini ya miaka 20 wanapojiandaa kuvaana na Tanzania katika mechi ya marudiano itakayochezwa Jumamosi jijini Dar es Salaam. Kenya inaongoza kwa bao 1-0 kutoka mkondo wa kwanza uliochezwa Februari 7jijini Nairobi. Bao hilo la ushindi lilifungwa dakika za […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































