WABUNGE, MASENETA KAZINI LEO
Maseneta na wabunge hatimaye wanarejelea vikao vyao hii leo bungeni baada ya likizo ya miezi 2, spika wa bunge la kitaifa Moses Wetang’ula akiratibiwa kukutana na viongozi wa bunge saa nne asubuhi kupanga namna vikao hivyo vitaendeshwa. Miongoni mwa masuala yanayotarajiwa kupewa kipaumbele kwenye mijadala ya bunge ni mpango wa serikali kuuza asilimia 15 za […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































