#Local News

KINDIKI ATOA HAKIKISHO KWA WAWEKEZAJI

Naibu Rais Kithure Kindiki amewahakikishia wawekezaji na wafanyabiashara katika sekta ya kibinafsi kwamba serikali imeweka mikakati ya kutosha kuhakikisha usalama baada ya uchaguzi mkuu ujao, na hivyo hapana haja ya kuhofia biashara zao.

Alikuwa akizungumza kwenye kongamano mja akiwahimiza wawekezaji kuwekeza katika nguzo kuu za serikali ambazo ni kilimo, kawi na miundomsingi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KINDIKI ATOA HAKIKISHO KWA WAWEKEZAJI

BINGWA SAWE AREJEA KWA MBWEMBWE

KINDIKI ATOA HAKIKISHO KWA WAWEKEZAJI

JAJI WARSAME NDIYE CHAGUO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *