#Local News

WAATHIRIWA WA MAANDAMANO WATAKA MUDA ZAIDI

Huku zikiwa zimesalia siku 2 kabla ya kukamilika kwa muda waliopewa waathiriwa wa maandamano kuwasilisha stakabadhi hitajika ili kuzingatiwa kwa fidia, familia za waathiriwa hao zimeitaka tume ya kitaifa kuhusu haki za kibinadamu kuziongeza muda zaidi.

Miongoni mwa malalamishi ya familia hizo ni ukosefu wa mawasiliano ya kutosha pamoja na njia mwafaka za kuifikia tume hiyo.

Mkutano wa jana kati ya waathiriwa hao na tume hiyo ulifutiliwa mbali dakika za mwisho.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *