#Football #Sports

KENYA YALIPA ADA YA AFCON

Baada ya wiki kadhaa za kutokuwa na uhakika, Kenya imelipa ada ya kuandaa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) yenye thamani ya dola milioni 30 (Sh3.9 bilioni),

Waziri wa Michezo, Salim Mvurya, amesema kuwa nchi imetekeleza mahitaji yote yaliyowekwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF).

Aidha ameongeza kuwa serikali imepanga upya Kamati ya Kuandaa Mashindano (LOC) ikijumuisha wataalamu kutoka sekta ya umma na binafsi ili kuimarisha uwezo wa taasisi kabla ya mashindano.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

KENYA YALIPA ADA YA AFCON

GACHAGUA AKOSOA UBOMOAJI GIKOMBA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *