#Local News

JIJI KAVU: MAJI KUPOTEA NAIROBI WIKI IJAYO

Uhaba wa maji unatarajiwa katika mengi ya maeneo ya jiji la Nairobi kuanzia Jumatatu ijayo, baada ya shirika la Athi Water Works Development kufunga mfumo wake muhimu kukamilisha ujenzi.

Kupitia notisi ya umma, kampuni ya maji ya Nairobi City Water imesema mfumo huo utafungwa kuanzia tarehe 6 hadi 11 mwezi huu.

Miongoni mwa maeneo yatakayoathirika ni pamoja na Riverside, Parklands, Lavington, Kileleshwa, Mamlaka Road na viunga vya maeneo hayo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

JIJI KAVU: MAJI KUPOTEA NAIROBI WIKI IJAYO

KMPDU YADUMISHA UONGOZI WAKE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *