#Local News

UPINZANI: HATUNA IMANI NA IEBC

Baadhi ya wabunge wa upinzani wametishia kuwasilisha hoja bungeni kuishinikiza tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kuweka wazi sajili ya wapiga kura ili kuzuia udanganyifu katika uchaguzi mkuu ujao.

Wakiongozwa na mbunge wa Kaiti Joshua Kimilu, wabunge hao wamepinga ripoti ya IEBC kwamba wapiga kura waliosajiliwa kabla ya mwaka 2012 watahitajika kujisajili tena.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *