KRA YAHAMASISHA WAKAAZI WA MKOA WA PWANI KUHUSU ULIPAJI USHURU
Mamlaka ya ukusanyaji ushuru nchini KRA imezindua mpango wa kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa kulipa ushuru eneo la pwani
Mpango huo uliozinduliwa jijini Mombasa unalenga kaunti za pwani katika juhudi za kuafikia makadirio ya bajeti ya mwaka wa kifedha 2024-2025
Wakaazi wa eneo hilo vile vile wamehamasishwa kuhusu mpango wa msamaha yaani KRA amnesty program
Imetayarishwa na Janice Marete
English 









































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































