#Local News

UTOAJI WA CHANJO YA ROTAVIRUS KUTATIZIKA

Wizara ya afya imetangaza kwamba utoaji wa chanjo za rotavirus zinazotumiwa kwa chanjo ya kawaida ya Watoto utatatizika kwa muda kutokana na uhaba wa chanjo hizo nchini.

Kupitia tangazo, Waziri wa afya Aden Duale, amefichua uhaba wa chanjo hizo, ambazo hutolewa kwa Watoto wanapofikisha umri wa wiki 6, 10 na 14, shehena ya chanjo hizo iliyochelewa ikitarajiwa nchini mwezi ujao.

Chanjo hiyo hutumiwa kuwakinga Watoto dhidi ya kuendesha, kutapika na kuishiwa na maji mwilini.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UTOAJI WA CHANJO YA ROTAVIRUS KUTATIZIKA

IEBC YAONYA KUHUSU UTAPELI WA AJIRA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *