MUSEVENI AONGOZA MATOKEO YA AWALI UGANDA
Rais mkongwe wa Uganda, Yoweri Museveni, ameongoza kwa mbali katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais, huku kukiwa na taarifa kinzani kuhusu visa vya vurugu vilivyoripotiwa baada ya kura kupigwa. Kwa mujibu wa matokeo yaliyotangazwa na tume ya uchaguzi, Museveni ana asilimia 76.25 ya kura kulingana na kura zilizohesabiwa kutoka karibu nusu ya vituo vya […]
English 







































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































