GACHAGUA AITAKA MAREKANI ‘KUCHEZA KIVENEZUELA’

Aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua ametoa wito kwa serikali ya Marekani kuharakisha uchunguzi unaoendelea katika Sakata ya ulaghai kupitia mpango wa kuwasaidia Watoto wasiojiweza katika jimbo la Minnesota, akisema sehemu ya mapato ya ulaghai huo ilifadhili kampeni za Rais William Ruto kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2022. Gachagua ameitaka Marekani kuwafuatilia wahusika, akidai baadhi […]

RUTO AAGIZA BUNDUKI HARAMU ZISALIMISHWE

Rais William Ruto kwa mara nyingine amewaonya wamiliki wa bunduki haramu katika eneo la Kerio Valley kuziwasilisha mara moja kwa maafisa wa usalama akionya kuwa watakaokiuka watakabiliwa kisheria. Rais alikuwa akizungumza katika kaunti ya West Pokot, akipongeza operesheni ya kuwakabili majangili eneo hilo la Kerio. Imetayarishwa na Antony Nyongesa

9 WAFARIKI KWENYE AJALI NAIVASHA

Watu 9 wakiwemo Watoto wameaga dunia kwenye ajali ya barabarani kwenye barabara na Nakuru- Nairobi karibu na eneo la Kayole Naivasha baada ya basi la uchukuzi kugongana na gari dogo la uchukuzi aina ya Nissan. Afisa wa idara ya upelelezi eneo hilo Isaac Kiama, amethibitisha ajali hiyo ya mapema leo, akisema mansura wanatibiwa katika hospitali […]

The Ultimate Guide to Football Odds in Online Betting

Football odds are an essential aspect of online betting, providing players with the opportunity to wager on their favorite teams and matches. As someone with 16 years of experience in the industry, I have seen the evolution of football odds and the impact they have on the betting experience. In this comprehensive guide, I will […]

CITY WATIWA BREKI EPL

Azma ya Manchester City kupelekana sako kwa bako na Arsenal kwenye kinyang’anyiro cha kuwania ligi kuu ya soka nchini Uingereza EPL ilitiwa doa jana usiku, baada ya vijana hao wa Pep Guardiola kushikwa kwenye sare ya kutofungana dhidi ya Sunderland. Mawimbi ya mashambulizi ya City yalionyeshwa giza ugani Stadium of Light, na kutamatisha rekodi yao […]

NYOTA WAJAA MWONDOANO AFCON

Wachezaji mahiri wamesheheni raundi ya mwondoano ya timu 16 za mwisho katika kipute cha taifa bingwa barani Afrika AFCON 2025 nchini Morocco, raundi hiyo inapoanza hapo kesho. Miongoni mwa nyota hao ni beki wa PSG na mchezaji bora wa Afrika mwaka jana Achraf Hakimi anayeiwakilsha Morocco, fowadi wa Liverpool Mohammed Salah anayeisaidia Misri kusaka taji […]

LEOPARDS INA FURSA YA KUJIIMARISHA KILELENI

Ligi kuu ya kandanda nchini KPL inarejelewa wikendi hii baada ya kuchukua breki ya Krisimasi, huku viongozi wa ligi hiyo AFC Leopards wakiwa na fursa ya kuongeza mwanya wa pointi na kujiimarisha nyuma ya usukani wa ligi hiyo. Leopards walio na pointi 24 kileleni sawa na Tusker FC ila wakiwa na ubora wa mabao, watashuka […]

IDA APENDEKEZA MAFUNZO YA MAJANGA

Ni wakati kwa mafunzo ya kukabiliana na majanga kujumuishwa kwenye mtaala wa masomo katika viwango vyote vya elimu ili kuwawezesha wanafunzi kukabiliana na majanga. Ni wito wa mjane wa marehemu Raila Odinga, Ida Odinga, akizungumza wakati wa ziara ya wanamazingira na wataalamu wa mabadiliko ya tabia nchi mjini Bondo kaunti ya Siaya. Imetayarishwa na Antony […]

MATAKWA YA WADAU WA ELIMU

Huku shule zikijitayarisha kurejelea masomo kwa muhula wa kwanza wiki ijayo, serikali imetakiwa kuchukua hatua za haraka ili kushughulikia changamoto zinazoikumba sekta ya elimu mwaka huu unapoonza. Kupitia ujumbe, miungano ya kutetea maslahi ya walimu KUPPET, KNUT na KUSNET imependekeza kuajiriwa kwa walimu zaidi, kuboresha maslahi yao na kutekeleza mikataba ya maelewano hasa uajiri wa […]

RUTO AUKEJELI UPINZANI, MUSYOKA

Huku ikisalia chini ya miaka 2 kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka ujao, Rais William Ruto amewataka wakenya kuwaunga mkono viongozi walio na rekodi za maendeleo, akiendelea kuupuzilia mbali muungano wa upinzani kama usio na ajenda ya maendeleo. Akizungumza mjini Kakamega, Ruto ametoa changamoto kwa muungano huo kuweka wazi ajenda yake kwa wakenya, huku akiendelea […]