RUTO KUHUTUBIA BUNGE LA TANZANIA
Rais William Ruto ameratibiwa kulihutubia bunge la kitaifa la Tanzania Jumanne wiki ijayo, ikiwa n ani sehemu za kuimarisha uhusiano baina ya mataifa hayo mawili.
Kulingana na taarifa kutoka afisi ya spika wa bunge hilo, wabunge wamehamishwa kuhusu kikao hicho kitakachoanza saa tano asubuhi, akiwataka wabunge hao kufika bila kukosa ili kusikiliza hotuba ya rais mgeni.
Ametaja hotuba hiyo kuwa muhimu nay a kihistoria, ikitarajiwa kuhudhuria na viongozi wakuu wa serikali ya Tanzania.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































