AFUENI YA SHA KWA WAFANYAKAZI
Ni afueni kwa maelfu ya walimu walio chini ya muungano wa KUPPET baada ya bima ya afya SHA kuwawekea kiwango cha malipo ya hospitali kutoka shilingi 1,200 hadi shilingi 10,000 kila mara wanapozuru hospitali kutibiwa.
Kulingana na Waziri wa afya Aden Duale, hatua hiyo ni sehemu ya mpango wa kutatua changamoto walizokuwa wakikumbana nazo wanaposaka matibabu.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 




























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































