#Local News

SENETI KUAMUA HATMA YA MUTAI WIKI IJAYO

Gavana wa Kericho Eric Mutai atabaini hatma yake ya kubanduliwa kutoka afisini mwishoni mwa mwezi huu, wakati seneti itajadili hoja hiyo kwa kipindi cha siku 3.

Spika wa seneti Amason Kingi, amemwagiza karani wa bunge hilo kuhakikisha gavana Mutai na wawakilishi wadi waliomng’atua mamlakani wiki iliyopita wanapata mwaliko wa kuhudhuria vikao vya kusikiliza hoja hiyo.

Aidha, amemtaka gavana huyo na wawakilishi wadi kuwasilisha stakabadhi muhimu za hoja hiyo bungeni kufikia Jumanne wiki ijayo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

SENETI KUAMUA HATMA YA MUTAI WIKI IJAYO

JOBO KUMENYANA NA MUSINGU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *