UMASKINI WAONGEZEKA KENYA- RIPOTI
Hali ya umaskini imeendelea kuongezeka nchini katika kipindi cha miaka 10 iliyopita, wakenya 125 pekee wakimiliki utajiri unaoweza kukidhi mahitaji ya wenzao milioni 42.
Katika ripoti yake, shirika la Oxfam limebaini pengo kubwa lililoko kati ya maskini na matajiri, wakenya milioni 7 wakijipata katika hali ya umaskini katika kipindi hicho.
Aidha, imebaini pengo katika sekta za elimu, ajira na afya.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 




























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































