#Local News

RUTO APOKEA MABALOZI WATATU NCHINI

Rais William Ruto amepokea hati za utambulisho za mabalo watatu ambao wameteuliwa katika Ikulu ya Nairobi ikiwa ni kuashiria mwanzo wa kazi zao za kidiplomasia nchini.

Watatu hao ni pamoja na Rulan Mahmoud Samara wa Jordan, Jacinto Januario Maguni wa Mozambique na Saad Bin Abdullah Alnofaia wa Saudi Arabia.

Ruto amewahakikishia mabalozi hao ushirikiano kamili wanapoanza majukumu yao huku akionyesha imani ya ushirikiano kati ya pande hizo mbili.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO APOKEA MABALOZI WATATU NCHINI

HISA ZA UUZAJI WA KPC ZILIIPA KENYA

RUTO APOKEA MABALOZI WATATU NCHINI

SERIKALI YAKADIRIA UKUAJI WA UCHUMI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *