#Rugby #Sports

MAADHIMISHO YA NAKURU RFC YAVUTIA MAKUMI YA TIMU

Zaidi ya timu 40 za mchezo wa raga zimeratibiwa kushiriki mashindano ya 10-aside yatakayoandaliwa na kalbu ya Nakuru RFC mapema mwezi ujao, klabu hiyo itakapokuwa ikiadhimisha miaka 100 tangu kuanzishwa kwake.

Klabu hiyo imehusishwa na mchango wake mkubwa kwa raga ya Kenya, ikiwemo kuwatoa wachezaji mahiri wanaochezea timu ya taifa.

Mashindano hayo huandaliwa kila mwezi Aprili, na timu mbili kutoka Uganda na Sudan zimeratibiwa kushiriki Makala yam waka huu.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MAADHIMISHO YA NAKURU RFC YAVUTIA MAKUMI YA TIMU

AFUENI YA KILIMO BUNGOMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *