#Local News

TUJU AAPA KUPIGANI ARDHI ILIYONADIWA

Aliyekuwa katibu mkuu wa chama cha Jubilee Raphael Tuju, amesisitiza kuwa hatalegeza juhudi za kupigania kipande chake cha ardhi cha ekari 27 kilicho mtaani Karen jijini Nairobi, licha ya kupigwa mnada.

Kwa mujibu wa mbunge huyo wa zamani, kiasi cha fedha anazodaiwa na benki moja ni kidogo mno ikilinganishwa na thamani ya ardhi hiyo.

Ameibua madai kwamba mkopo huo umeingizwa siasa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

TUJU AAPA KUPIGANI ARDHI ILIYONADIWA

HASARA, MAAFA YA MAFURIKO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *