#Local News

WIZARA YAONYA DHIDI YA DHULUMA ZA NGONO

Wizara ya elimu imeibua hofu kuhusu visa vya unyanyasaji wa kingono katika vyuo vya kiufundi, TVET, ikionya kuwachukulia hatua walimu wa taasisi hizo wanaojihusisha na visa hivyo.

Akizungumza katika kaunti ya Mombasa, Waziri wa elimu Julius Ogamba, amekiri kuwa wizara yake imepokea ripoti kuhusu unyanyasaji huo anaokariri kuwa unakiuka sheria za mafunzo nchini.

Kauli yake ikisisitizwa na katibu mkuu katika idara ya TVET Esther Mworia.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WIZARA YAONYA DHIDI YA DHULUMA ZA NGONO

JAJI WARSAME NDIYE CHAGUO

WIZARA YAONYA DHIDI YA DHULUMA ZA NGONO

MZOZO MWINGI: WASAFIRI WAKWAMA 

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *