#Local News

NI WAKATI WA VIWANDA KUNAWIRI: DIDMUS

Mbunge wa Kimilili Didmus Barasa, ametetea mapendekezo ya mswada wa kifedha wa mwaka 2024-25, akisema mapendekezo haya yatalinda watengenezaji wa bidhaa humu nchini na hivyo kubuni nafasi za ajira.

Akizungumza bungeni wakati wa kikao kinachoendelea, Barasa amewalaumu wabunge wa upinzani kutokana na kudorora kwa hali ya uchumi hapa nchini.

Kulingana na mbunge huyo, mswada huo utawezesha ujenzi wa viwanda humu nchini.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

NI WAKATI WA VIWANDA KUNAWIRI: DIDMUS

MAANDAMANO YA USHURU MOMBASA

NI WAKATI WA VIWANDA KUNAWIRI: DIDMUS

ONYO YA AFISI YA DETA KWA WAKENYA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *