KOECH: WAZIRI MUTURI ATAONDOLEWA MAMLAKANI
Kuna njama ya kumbandua mamlakani Waziri wa utumishi wa Umma, Justin Muturi, wakati wowote kuanzia leo, hay ani kwa mujibu wa Mbunge wa Belgut, Nelson Koech.
Koech aidha ameibua madai kwamba Muturi amejiletea hili mwenyewe kutokana na ukosoaji wake wa hivi karibuni dhidi ya serikali kuhusu kesi za kutekwa nyara kwa wakenya na mauaji ya kiholela, ambapo Muturi alilenga moja kwa moja kwa Rais William Ruto.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 




























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































