BOMOA BOMOA NAIROBI KUDHIBITI MAFURIKO
Serikali ya kaunti ya Nairobi imeanzisha zoezi la kuyabomoa majumba yote yaliyo kwenye njia za mito, zoezi ambalo limeanzia katika eneo la Westgate katika juhudi za kudhibiti athari za mafuriko. Ubomozi huo unatekelezwa kwa mujibu wa mapendekezo ya kamati ya mpito ya jiji ambayo imesema majumba yote yaliyo kwenye njia za mito yataathirika. Gavana wa […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































