ZAIDI YA 66 WAAGA KWENYE AJALI COLOMBIA
Watu wasiopungua 66 wameripotiwa kuaga dunia baada ya ndege ya kijeshi iliyokuwa imewabeba watu 125 kuanguka ilipokuwa ikijaribu kupaa nchini Colombia. Kulingana na maafisa wa serikali, ndege hiyo iliyokuwa na maafisa wa kijeshi 114 na wafanyakazi 11 wa ndege, ilianguka katika eneo la Leguizamo, mpakani pa taifa hilo la Ecuador na Peru. Waziri wa ulinzi […]
English 


































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































