MATAKWA YA WADAU WA ELIMU
Huku shule zikijitayarisha kurejelea masomo kwa muhula wa kwanza wiki ijayo, serikali imetakiwa kuchukua hatua za haraka ili kushughulikia changamoto zinazoikumba sekta ya elimu mwaka huu unapoonza. Kupitia ujumbe, miungano ya kutetea maslahi ya walimu KUPPET, KNUT na KUSNET imependekeza kuajiriwa kwa walimu zaidi, kuboresha maslahi yao na kutekeleza mikataba ya maelewano hasa uajiri wa […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































