#Local News

MAENEO 59 TANA HATARI KUTOKANA NA MAFURIKO

Jumla ya watu 18 wamefariki kutokana na mafuriko katika siku za hivi karibuni baada ya watu 3 zaidi kufariki, serikali ikisema watu wengine 63 hawajulikani waliko huku wengine zaidi ya 60,000 wakiachwa bila makao.

Kulingana na takwimu za serikali, vifo hivyo vimeripotiwa katika maeneo ya Kaskazini Mashariki, Kati, Bonde la Ufa, Nairobi na pwani huku serikali ikiwaagiza wakazi katika maeneo 59 katika eneo la Tana yaliyo karibu na bwawa la Seven Folks kuhama.

Wakazi wameitaka serikali kuwapa eneo mbadala.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MAENEO 59 TANA HATARI KUTOKANA NA MAFURIKO

ODM MBIONI KUOKOA CHOMBO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *