HARAMBEE STARLETS WANOLEWA MAKALI KABLA YA WAFCON 2026

Timu ya taifa ya soka ya wanawake, Harambee Starlets, imeongeza makali ya maandalizi yake kuelekea Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake, WAFCON 2026, kupitia kambi ndogo ya ndani inayolenga kuchunguza vipaji vipya na kuimarisha kikosi. Kambi hiyo inayoendelea imewakutanisha wachezaji waliobobea kutoka ligi za humu nchini, na kuwapa fursa ya kupata uzoefu wa kuchezea […]

GOR MAHIA YALENGA KUREJEA NJIA YA MATAJI

Klabu ya Gor Mahia, ambayo bingwa mara 11 wa Kombe la FKF na moja ya timu zilizotwaa mataji mengi nchini, inajiandaa kwa mechi ya raundi ya 32 ya Kombe la Mozzart Bet dhidi ya Dero FC itakayochezwa hapo kesho katika uwanja wa Mamboleo, Kaunti ya Kisumu. K’Ogalo wanaingia kwenye mechi hiyo wakiwa na nia ya kufuta kumbukumbu ya kichapo […]

POLISI WAKAMATA WASHUKIWA SABA MUMIAS MASHARIKI

Maafisa wa polisi katika eneo bunge la Mumias Mashariki wamewakamata washukiwa saba wa uhalifu wanaodaiwa kuhusishwa na kundi la Jeshi Jinga ambalo limekuwa likiwahangaisha wakaazi wa eneo hilo. Kamanda wa polisi wa eneo hilo, Doris Chemos, amethibitisha kuwa washukiwa hao walikamatwa baada ya kuvamia waombolezaji katika eneo la Mwito­ti, ambako walishambulia watu kwa kuwakata na […]

OBURU ODINGA ATHIBITISHWA KUWA KIONGOZI WA ODM

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Kisiasa imetoa tangazo la Gazeti Rasmi kuthibitisha maafisa wapya wa Chama cha ODM, huku Seneta wa Siaya Oburu Odinga akithibitishwa kuwa kiongozi mpya wa chama hicho. Katika Gazeti Rasmi nambari 1157 la tarehe 19 Januari mwaka huu, Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Kisiasa imemtaja Oburu Odinga kama kiongozi wa […]

RAIS AONGOZA UZINDUZI WA MRADI WA NYOTA MOMBASA

Vijana katika kaunti ya Mombasa wamepatiwa fedha za kuanzisha biashara kupitia Mradi wa Nyota katika hafla iliyoongozwa na Rais William Ruto jijini Mombasa. Kupitia mpango huo, vijana walipokea ruzuku ya shilingi elfu ishirini na tano kila mmoja kama mtaji wa kuanzisha au kukuza biashara zao. Mradi huo unalenga kuwawezesha vijana kutoka kaunti za Mombasa, Kwale na Taita […]

MWANAMME, 20, AHUKUMIWA MIAKA 20 JELA KWALE

Mahakama mjini Kwale imempa kifungo cha miaka 20 gerezani mwanamme mwenye umri wa miaka 20 baada ya kumpata na hatia ya kumnajisi msichana mwenye umri wa miaka 12. Mshtakiwa kwa jina Jackson Waweru maarufu kama Kibaki, amehukumiwa mbele a hakimu mkazi Ruth Ogolla, ambaye amempata na kosa la kunajisi na kushiriki tendo linalokiuka maadili na […]

MAHAKAMA YA RUFAA YAHALALISHA SHERIA YA NG-CDF

Wabunge wamepata afueni baada ya mahakama ya rufaa kubatilisha uamuzi wa mahakama kuu uliomuru kuwa sheria ya hazina ya kustawisha maeneo bunge NG-CDF ya mwaka 2015 inakiuka katiba, mahakama ya rufaa ikisema mahakama kuu ilikosea katika kuiharamisha sheria hiyo nzima. Katika uamuzi wake, mahakama ya rufaa imefutilia mbali maagizo na maamuzi yote yaliyotolewa Septemba mwaka […]

NSSF YAKADIRIA FAIDA KUTOKA UJENZI WA RIRONI-MAU SUMMIT

Hazina ya kitaifa kuhusu uhifadhi wa jamii, NSSF, inatarajia kupata faida ya asilimia 18 kwa mwaka kwa kipindi cha miaka 28 ijayo kupitia uwekezaji wake katika mradi wa barabara ya Rironi–Mau Summit. Barabara hiyo ni sehemu muhimu ya ukanda wa kaskazini maarufu kama Northern Corridor, unaotajwa kuwa mhimili wa mageuzi katika biashara na usafirishaji wa kikanda. Ushiriki wa NSSF katika makubaliano […]

Как адаптироваться к изменениям на 1xbet вход на сегодня?

Как адаптироваться к изменениям на 1xbet вход на сегодня? Адаптация к изменениям на платформе 1xbet может показаться сложной задачей, однако при соблюдении нескольких простых рекомендаций, вы сможете легко справиться с новыми условиями. Изменения могут касаться как пользовательского интерфейса, так и некоторых функциональных возможностей. В данной статье мы рассмотрим, как вы можете адаптироваться к изменением входа […]

LOOKMAN AANZA KWA KISHINDO ATLETICO

Mshambulizi wa Nigeria Ademola Lookman alianza kwa kishindo kwenye mechi yake ya kwanza tangu kuwasili Atletico Madrid, alipofunga bao na kuchangia jingine na kuisaidia klabu hiyo kufuzu katika awamu ya nusu fainali ya kombe la Copa del Rey. Rohiblanco waliandikisha ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Real Betis, na kujiunga na bingwa mtetezi Barcelona, bingwa […]