MAHAKAMA YAAGIZA KUACHILIWA KWA MWAGODI MWABILI
Mahakama moja jijini Nairobi imetoa uamuzi wa pande mbili kuhusiana na maombi yaliyowasilishwa kuhusu uchunguzi na kuzuiliwa kwa mwanaharakati Mwagodi Mwabili. Katika ombi la kwanza, mahakama iliruhusu Idara ya Upelelezi wa Jinai kuendelea kushikilia simu ya mkononi ya Mwabili kwa ajili ya uchunguzi zaidi, ikisema kifaa hicho ni muhimu kama kielelezo katika uchunguzi wa machapisho […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































