WANAFUNZI WA GRADE 10 KUANZA MASOMO WIKI IJAYO
Wanafunzi wa gredi ya kumi wanatarajiwa kuanza rasmi masomo yao wiki ijayo, kufuatia kusambazwa kwa vitabu vya shule za sekondari ya juu kote nchini. Taasisi ya Mtaala Nchini (KICD) pamoja na Wizara ya Elimu zimesema kuwa wachapishaji tayari wamechapisha vitabu na kusambaza asilimia 50 ya vifaa vya masomo. Hii hatua inahakikisha kuwa wanafunzi wanakuwa tayari […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































