RUTO: RIPOTI YA DHULUMA ITAZINGATIWA

Rais William Ruto ametoa hakikisho kuwa serikali itachukua hatua mwafaka kuhusu mapendekezo ya ripoti ya jopokazi la kiufundi kuhusu dhuluma za kijinsia nchini yakiwemo mauaji dhidi ya wanawake. Akitoa hakikisho hilo, Rais amesema mapendekezo hayo yanahitaji hatua za haraka kuchukuliwa, akisema wanawake na wasichana ndio waathiriwa wakubwa wa dhuluma za kijinsia licha ya jinsia zote […]

Intertops Online Online gambling refers to any type of gambling that is conducted on the internet. This includes virtual poker, casino roobet online gambling, and betting on sports. Online ticketing for the Liechtenstein International Poker Tournament was the first online gambling site to be opened to the public in October 1994. This was the first […]

The Increase of Mobile Gambling Enterprises: A Practical Way to Gamble on the Go

As technology remains to advance, the world of on-line gaming has actually seen a significant shift towards mobile platforms. With the raising appeal of smartphones and tablet computers, mobile online casinos have actually become a practical and easily accessible means for players to appreciate their preferred casino video games anytime and anywhere.

WENGER AMSIFU MICHAEL CARRICK WAMANCHESTER UNITED

Aliyekuwa kocha wa Arsenal Arsene Wenger ameonyesha kuvutiwana kazi anayofanya Michael Carrick katika klabu ya ManchesterUnited tangu ateuliwe kuwa kocha wa muda. Carrick aliteuliwa mapema mwezi huu kufuatia kufutwa kazi kwaRuben Amorim na alianza majukumu yake katika mazingira magumu,akicheza mechi zake mbili za kwanza dhidi ya Manchester City naArsenal, timu bora za Ligi Kuu England. […]

OKIDI AWAONYA SHABANA KUEPUKA MAKOSA YA GHARAMA

Kocha wa Shabana Peter Okidi amewataka wachezaji wake kuinukana kuchukua jukumu katika mechi zilizosalia za Ligi Kuu ya Kenyaiwapo wanataka kudumisha matumaini yao yanayofifia ya kutwaaubingwa msimu huu. Okidi amesema kikosi chake bado kina uwezo wa kushindana navigogo wa ligi, lakini akaonya kuwa makosa ya kizembe na kupotezapointi muhimu huenda yakagharimu timu pakubwa wakati huuambapo […]

TUSKER WAILEMEA KCB, WAPANDA HADI NAFASI YA SITA

Tusker FC walionyesha ukomavu na nidhamu ya hali ya juu kuibuka naushindi wa 2-1 dhidi ya KCB katika mechi ya Ligi Kuu ya Kenyailiyochezwa kwenye uwanja wa Kasarani Annexe. Ushindi huouliwawezesha Brewers kupanda hadi nafasi ya sita kwenye msimamowa ligi wakiwa na pointi 27, pointi tisa nyuma ya vinara Gor Mahia. Tusker walilazimika kuvumilia presha […]

KIMANZI ASIFU UJUMUISHWAJI WA MICHEZO KATIKA CBE

Aliyekuwa kocha wa Harambee Stars Francis Kimanzi amepongezauamuzi wa serikali wa kujumuisha michezo kama shughuli ya ziada yamasomo chini ya mfumo wa Competency-Based Education (CBE),akisema ni hatua muhimu kuelekea mafanikio ya muda mrefu yamichezo nchini. Kimanzi amesema kuwepo kwa mipango ya michezo iliyoandaliwavyema shuleni kutaboresha utambuzi na ukuzaji wa vipaji mapema,na kuhakikisha wanariadha chipukizi wanalelewa […]

RUTO ASIFIA CHAMA CHA UDA

Rais William Ruto amesema chama cha uda kinajiimarisha kuhakikisha kinapata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka ujao.  Ruto amesema kuwa ushirikiano wa chama cha UDA na ule wa odm kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027 unalenga kuzoa ushindi wa kura milioni tatu dhidi ya wapinzani wa mrengo huo. Aidha Rais ametangaza kwamba uchaguzi wa chama hicho […]

KRA, KPA WAZINDUA MAGEUZI KUPUNGUZA MSONGAMANO BANDARINI MOMBASA

Mamlaka ya kukusanya ushuru, KRA, na Mamlaka ya Bandari ya Kenya, KPA, wamezindua mageuzi mapana ya pamoja yanayolenga kupunguza msongamano katika Bandari ya Mombasa, kupunguza muda wa kukaa mizigo na kuharakisha mchakato wa kuidhinisha. Marekebisho hayo yamefanyika huku kukiwa na msongamano wa umeme kwenye bandari ambao umetatiza uagizaji wa bidhaa, mauzo ya nje na biashara ya kikanda. Hatua hizo […]

RUKU: GACHAGUA ANAJISHAMBULIA

Mashambulizi dhidi ya ibada ya kanisa iliyokuwa ikihudhuriwa na aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua katika eneo la Othaya kaunti ya Nyeri hapo jana yameendelea kuibua hisia mesto, baadhi ya viongozi wakimshutumu Gachagua kuhusiana na mashambulizi hayo. Wa hivi punde ni Waziri wa utumishi wa umma Geoffrey Ruku, anayedai kuwa Gachagua alipanga vurugu hizo ili kujiwasilisha […]