MAJAJI 15 WATEULIWA NA RAIS
Rais William Ruto amewateua rasmi majaji 15 katika mahakama ya rufaa, na kuashiria hatua muhimu katika kuimarisha mfumo wa haki nchini. uteuzi huo ulichapishwa katika toleo maalum la gazeti la Kenya la tarehe 27 januari, 2026, na kusambazwa kwenye x na katibu mkuu wa utumishi wa umma Felix Kosgei. hatua hiyo inafuatia mapendekezo ya tume ya huduma […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































