LEOPARDS MGONGONI PA GOR KUFUATIA USHINDI
Klabu ya AFC Leopards iliweka wazi nia yake ya kuwania ubingwa wa taji la ligi kuu ya soka nchini, KPL, kufuatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kariobangi Sharks ugani Nyayo hapo jana. Kwa sasa wanawaandamana viongozi wa ligi hiyo Gor Mahia, kwa pointi 4 pekee ingawa Gor wana mechi moja mkononi. Bao la pekee […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































