WAFANYAKAZI KUPATA AFUENI YA PAYE
Huenda wakenya wanaopata mshahara wa chini ya shilingi 30,000 kwa mwezi wakapata afueni kutokana na mpango wa serikali kuwaondolea mzigo wa ushuru wa mapato maarufu kama Pay As You Earn, PAYE. Akizungumza katika mkutano wa kukusanya maoni ya wakenya, Waziri wa fedha John Mbadi amesema mpango huo pia utawalenga wanaopata chini ya shilingi 50,000 ambao […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































