OTUOMA AFIKA EACC KUHUSIANA NA UCHUNGUZI BUSIA
Gavana wa Busia Paul Otuoma amefika mbele ya Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kufuatia wito kuhusu uchunguzi unaoendelea katika serikali ya Kaunti ya Busia. Otuoma alifika katika afisi za EACC Kanda ya Magharibi, Bungoma, ambapo ametakiwa kutoa taarifa kwa wachunguzi kufuatia madai ya ufisadi katika kaunti hiyo. Imetayarishwa na Cyrus Sifuna
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































