POLICE FC WATELEZA ZAIDI
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka nchini, KPL, Police FC wamejipata alama 11 nyuma ya viongozi wa ligi hiyo baada ya kushikwa katika sare ya bao 1-1 nyumbani dhidi ya Bidco United wanaokabiliwa na hatari ya kushushwa daraja. Mabao yote mawili yalifungwa katika dakika 10 za majeruhi, kwanza, Victor Kunyili akitishia kuwakaanga maafande kwa […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































