POLICE FC WATELEZA ZAIDI

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka nchini, KPL, Police FC wamejipata alama 11 nyuma ya viongozi wa ligi hiyo baada ya kushikwa katika sare ya bao 1-1 nyumbani dhidi ya Bidco United wanaokabiliwa na hatari ya kushushwa daraja. Mabao yote mawili yalifungwa katika dakika 10 za majeruhi, kwanza, Victor Kunyili akitishia kuwakaanga maafande kwa […]

UBADHIRIFU WA FEDHA BUNGOMA

Tume ya maadili na kukabili ufisadi EACC inatarajiwa kuanzisha uchunguzi katika Sakata ya ufujaji wa shilingi milioni 3.6 katika kaunti ya Bungoma, zinazoripotiwa kuwasha taa ya mti wa Krisimasi mnamo mwaka wa 2019. Haya yamebainika gavana wa Bungoma Ken Lusaka alipofika mbele ya kamati ya uhasibu katika bunge la seneti, huku akikabiliwa na maswali kuhusu […]

WAFANYAKAZI KUPATA AFUENI YA PAYE

Huenda wakenya wanaopata mshahara wa chini ya shilingi 30,000 kwa mwezi wakapata afueni kutokana na mpango wa serikali kuwaondolea mzigo wa ushuru wa mapato maarufu kama Pay As You Earn, PAYE. Akizungumza katika mkutano wa kukusanya maoni ya wakenya, Waziri wa fedha John Mbadi amesema mpango huo pia utawalenga wanaopata chini ya shilingi 50,000 ambao […]

MGOMO WA MAAFISA WA KLINIKI WATAMATIKA

Hatimaye maafisa wa kliniki wametia saini mkataba wa Pamoja na serikali za kaunti, katika juhudi za kutamatisha vuta nikuvute ya muda mrefu ambayo imekuwa ikitatiza utoaji huduma za matibabu kwa wakenya. Kwenye mkataba huo uliotiwa saini kati ya muungano wa maafisa hao KUCO na serikali zote za kaunti 47, maafisa hao watapata nyongeza ya mshahara […]

KUPPET YADAI WALIMU WAMETENGWA NA SHA

Muungano wa kutetea maslahi ya walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET umeibua hofu kuhusiana na jinsi bima ya afya ya jamii SHA inatekelezwa kwa wanachama wake, ukisema baadhi ya walimu wamenyimwa matibabu chini ya bima hiyo baada ya kuhusika kwenye ajali ya barabara wiki jana. Katibu mkuuu wa muungano huo Akello […]

Bitcoin Online Casinos: The Future of Gambling

In recent years, the world of online gambling has been changed by the development of cryptocurrencies, with Bitcoin leading the pack. Bitcoin, a decentralized electronic currency, has actually obtained considerable popularity and approval throughout different sectors, consisting of the on the internet casino industry. Bitcoin online casinos provide

8-4-4 GRADE 10? WALIMU WATISHIA

Baadhi ya walimu wakuu katika shule za upili nchini wametishia kuanza kuwafunza wanafunzi wa gredi ya 10 kutumia vitabu vya mtaala wa zamani 8-4-4 kutokana na ukosefu wa vitabu vya gredi hiyo iliyo chini ya mtaala wa umilisi CBE. Hii ni kutokana na hatua ya serikali kukosa kusambaza vitabu vya gredi hiyo hadi sasa, na […]

Insider Secrets to Kats’s Slot Collection and Loyalty Rewards

Insider Secrets to Kats’s Slot Collection and Loyalty Rewards Many players feel stuck when a casino’s slot library feels shallow. They want fresh titles, high‑paying jackpots, and a smooth play experience. Yet countless sites recycle the same old games, leaving players bored after a few sessions. This problem becomes worse when the casino’s loyalty program […]

LIVERPOOL WASAJILI JEREMY JACQUET

Liverpool wamefikia makubaliano ya kumleta Jeremy Jacquet kutoka Rennes kuanzia Juni 2026, katika ada ya pauni milioni 60 na nyongeza ya pauni milioni 10 baada ya mchezaji kukubali masharti ya kibinafsi. Jacquet, mmoja wa mabeki wa kati wenye vipaji vikubwa duniani, alikuwa pia akiangaliwa na Chelsea, ambao wanatarajia kumrejesha Mamadou Sarr klabuni. Hali hiyo inafungua mlango wa Aaron Anselmino kuhamia Strasbourg. Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

MWALALA AELEZA HUZUNI BAADA YA KUSHINDWA SHABANA

Kocha wa Bandari FC, Bernard Mwalala, alionekana mwenye kuchanganyikiwa baada ya timu yake kupoteza 1–0 ugenini dhidi ya Shabana FC, akilaumu uamuzi mbaya wa waamuzi na kupoteza umakini kwa kuishia kuvunja mfululizo wao wa mechi bila kipigo. Penalti yenye utata ya dakika ya 27 iliyofungwa na Brian Michira ndiyo iliyobaini mshindi wa mechi hiyo iliyoonekana […]